Saturday, July 25, 2015

Friday, June 19, 2015

DO YOU KNOW THAT YOU MISS ALOT IF YOU DON'T HAVE SEX AS ABACHELOR OR SPINSTER?

DO YOU KNOW THAT YOU MISS A
LOT IF YOU DON'T HAVE SEX AS A
BACHELOR OR SPINSTER?

THINGS YOU MISS FOR NOT
HAVING SEX BEFORE MARRIAGE
A lot of people might have told
you that you miss a lot for not
having "sex", the answer is a
capital “YES”. You miss a lot and
would continue missing them:

1. You miss contacting HIV/AIDS
2. You miss unwanted
pregnancy.

Monday, May 25, 2015

FORM SIX CANDIDATES selected TO JOIN JKT ACCORDING TO THE LAW 2015

Here are the names of those selected form Six to join JKT 2015 in accordance with the law
Downloads the shared link with blue calour click link below to get the pdf file
Share with your colleagues might know where they have settled scheduled

BUROMBORA-KIGOMA

RWAMKOMA- MUSOMA 

MSANGE- TABORA

KUNEMBWA- KIGOMA

RUVU- JKT

MGAMBO- TANGA

MARAMBA- TANGA

MAFINGA- IRINGA

JKT SONGEA- MLALE

MTABILA- KIGOMA

MAKUTOPOLA- DODOMA


KAZI NJEMA NA MAFUNZO MEMA KWA WALIO PATA POST HIZO



Friday, May 22, 2015

SCENE OF THE CITY OF DAR ES SALAAM PRIOR INDEPENDENCE

SCENE OF THE CITY OF DAR ES SALAAM PRIOR INDEPENDENCE

                                                    Ramani ya JIJI ILIVYOKUWA
 

Tuesday, May 19, 2015

BIBLE STUDIES

Welcome to this page/label and read various bible facts and but remember to share with us the bible facts in either language and GOD bless you

Thursday, May 14, 2015

Read Daniel 7:8

Read through images revelation Daniel 7: 8

You says but GOD SAYS

GETTING TO KNOW BURUNDI/ IJUE NCHI YA BURUNDI KUFUATIA VURUGU ZA KISIASA ZINAZOENDELEA SAIZI

GETTING TO KNOW BURUNDI/ IJUE NCHI YA BURUNDI KUFUATIA VURUGU ZA KISIASA ZINAZOENDELEA SAIZI

BURUNDI ni nchi ndogo ambayo iko katika eneo la Maziwa Makubwa ya Afrika. Burundi imepakana na Rwanda upande wa kaskazini, Tanzania upande wa mashariki, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa magharibi.
Burundi ni mwanachama wa Umoja wa Afrika na wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. 
Burundi ilijipatia uhulu wake mwaka 1962 kutoka kwa wajerumani chini ya kiongozi Mwami Mwambutsa IV, a Tutsi. In 1965

Burundi ni nchi iliyo shuhudia mabishano makali baina ya watutsi walio wachache na wahutu walio wengi
Mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yalianza mwaka 1993 na inakadiliwa Takribani watu 300,000 waliuwawa katika machafuko hayo
Hata hivyo juhudi za Mataifa mbali mbali na Juhudi za wana Burundi zilifanikiwa kwa kiwango kikubwa hali kukawa na makubaliano ya amani na kuunda serikali ya pamoja mnamo mwaka 2001 na Uchaguzi wa kwanza ulifanyika mwaka 2005 kama Nguzo muhimu sana kwa Demokrasia na kundi la wapiganaji wa zamani Wahutu likaibuka kuwa Washindi na Ndipo walipo mteua Pierre Nkurunzinza kuwa Rais 

Nkurunzinza Rais wa Burundi alitangaza mwezi ulio pita nia yake ya kuwania Urais mara ya tatu kitu kilicho pingwa vikali na baadhi ya wanasiasa nchini humo na watu walijitokeza katika maandamano wakidai ni Ukiukwaji wa Katiba ya Nchi hiyo inayo mtaka Rais kugombea urais kwa Mihula miwili tu
Kufuatia maandamano hayo na mambo Rais huyo alipinduliwa madarakani na wanajeshi walio kuwa na itikadi tofauti na yeye chini ya Maj Gen Godefroid Niyombare alie ongoza mapinduzi hayo tarehe 13/05/2015. Baadhi ya Taarifa zilizo nifikia ni kwamba Raisi huyo alikimbilia nchini Tz kwa mda na Baadae alilejea nchini humo
Kinachoendelea mpaka sasa ni Makabiliano makali kati ya Askari wanao Mtii kiongozi huyo aliye endesha Mapinduzi na Askari wanao mtii Rais Pierre Nkurunzinza

Twende pamoja ili uweze kupata Matukio picha na video juu ya kinachoendelea Burundi na Mambo mengine Duniani kiujumla Like our facebook page Technical Solution vile vile usisahau ku subscribe or follow by email for current updates

Sunday, April 19, 2015

TIBA YA MDALASINI NA ASALI

FAIDA ZA MDALASINI NA ASALI
Asali inafahamika vema Duniani kote kama mojawapo ya silaha ya kiajabu katika kupigana na
magonjwa na matatizo yatokanayo na uzee.
Sasa hivi, utafiti mpya umeonyesha kwamba uwezo wa asali unaweza kuongezwa maradufu kama
itachanganywa na mdalasini wa kawaida.
Uchunguzi wa kina ufanywao kwa wiki na jarida la World News wa Tiba, wataalamu wa madawa
yatokanayo na mimea pamoja na kijarida cha afya na lishe, imeonekana kwamba kuna dazani nyingi za
umuhimu wa asali na mdalasini pamoja na michanganyiko {dawa} ya kusisimua iletayo afya bora.
Kama ifuatayo:
1. Ugonjwa wa Viungo/Maumivu na Uvimbe {ARTHRITIS}.
Wataalamu wa lishe wanapendekeza kuchukua kwa kutumia mchanganyiko wa sehemu moja ya asali
pamoja na sehemu mbli za maji vuguvugu na kijiko kimoja {cha chai} chenye mdalasini - na kuchua
sehemu zilizoathirika. Nafuu hupatikana katika muda wa dakika moja.
Vinginevyo tengeneza chai-kikombe kimoja chenye maji moto, weka vijiko vya chakula -viwili vya
asali kwa kijiko cha chai cha mdalasini. Kunywa asubuhi na jioni ili kuondoa maumivu.
Katika tafiti iliyofanyika hivi karibuni na chuo kikuu kimoja huko Copenhagen, madaktari waliwapa
wagonjwa 200, {syrup} mchanganyiko wa kijiko kimoja *cha chai* cha asali na kimoja cha mdalasini kila
asubuhi kabla ya kifungua kinywa. Asilimia 73% yao waliripoti nafuu kubwa ya maumivu yao na _
ongezeko katika kufanya shughuli kama kujongea na kutembea vyema.
2. kukatika kwa nywele {HAIR LOSS}
Asali ikishachanganywa na mdalasini pamoja na mafuta vuguvugu ya olive, hutoa kichocheo
maridhawa cha kuotesha nywele kinachotumika katika dawa ya Dork. Mchanganyiko huo vuguvugu
unapakwa kwa kusugua kichwani na kuachwa kwa dakika 15.
3. Ukungu wa miguuni {FUNGUS}
Changanya kijiko kikubwa cha mezani cha asali, vijiko viwili vya mdalasini {vya chai}. Pakaa sehemu
zilizoathirika usiku kwa muda wa nusu saa, kisha safisha kwa sabuni na maji. Shida yako itakwisha
kwenye kipindi cha wiki moja.
4. Maamhukizo kwenye kihofu cha mkojo {BLADDER INFECTION}
Bilauri ya maji vuguvugu yaliyochanganywa na vijiko viwili {vya chai} vya mdalasini na kijiko kimoja
{cha chai} cha asali huondoa bacteria kwenye kibofu. Unaweza ukatumia juisi ya cranberry badala ya
maji ikiwa ambukizo la kibofu linakuwa sugu.
5. Maumivu ya jino {TOOTHACHE}.
Changanya sehemu tano za asali, na sehemu moja ya mdalasini na tumia kwa maumivu ya jino.
Dondoshea kwenye jino au meno yaliyoathirika hadi maumivu yatakapotoweka.
6. Vidonda vitokanavyo kwa mgonjwa kulala kwa muda mrefu {CANKER
SORES}.
Saladi ya kupaka vidonda iliyochanganywa na asali pamoja na mdalasini kwenye chai ya raspberry
nyekundu ni dawa nzuri ya kuondoa maumivu makali ya canker sores.
7. Helemu {CHOLESTERAL}
Kipimo cha helemu cha watu waliokuwa na afya nzuri {katika jaribio} kilishuka kwa wastani wa asilimia
10 katika muda pungufu ya masaa mawili baada ya kunywa bilauri moja {ounce 16} yenye vijiko viwili
vikubwa vya mdalasini iliyochanganywa na chai ya moto. Kinywaji hiki kutwa mara tatu kilifanya kazi
nzuri ya kushusha kiwango cha helemu mwilini.
Madhara yaletwayo na vyakula vyenye mafuta yanaweza kudhbitiwa kwa matumizi ya mara kwa mara
ya chai hii pamoja na chakula chako. Hii imeripotiwa na mtafiti maarufu Dr Alexander Andreyed na Eric
Vogelmann.
Ugunduzi wao uliyakinishwa kwenye jarida mashuhuri la kitiba la Denmark July 1994. vilevile/ aidha
uchunguzi mwingine ulibayanishwa kutoa matumizi ya kila siku ya asali safi hupunguza viwango vya
helemu.
> 8. Mafua {COLDS}
Mafua yameshaeleweka ya kwamba hupotea/huondoka baada ya masaa machache baada ya waathirika
kutumia kijiko kimoja {cha mezani} cha asali vuguvugu iliyochanganywa na robo kijiko{cha chai} cha
mdalasini, mchanganyiko huu ni mahususi katika kusaidia kuondoa chafya na kuvimba koo.
9. Ugumba {INFERTILITY}
Asali inaaminika kuamsha nyege na wapenzi wa jinsia zote mbili wanashauriwa kunywa anglao vijiko
viwili {vya mezani} kila siku kabla ya muda wa kulala {usiku}. \
Mdalasini umetumika kwa muda mrefu kwenye dawa za kihindi na kichina ili kuongeza uwezo wa uzazi
ka kina mama wenye kuhitaji kuzaa.
Kiungo hiki {mdalasini} huchanganywa na kiasi cha asali na kufanya mgando {paste} ambao hupakwa
kwenye fizi za meno na kunyonywa na kuingia mwilini taratibu.
Familia moja iliyokuwa haina watoto iltumia mgando huu kwa mafanikio na kupata mapacha wa kike
baada ya kushindwa kwa muda wa miaka 14 kupata mtoto. Walikuwa wameshakata tamaa ya kupata mtoto
hadi waliposikia kuhusu mchanganyiko huu wa asali na mdalasini.
10.Mchafuko wa tumbo {UPSET STOMACH}
Asali imetambuliwa kwa kipindi kirefu kama dawa ifaayo kuondoa mchafuko wa tumbo pamoja na
kichefuchefu. Ongeza kiasi kidogo cha mdalasini na hii tiba ya kimaajabu vilevile itapunguza maumivu
yaletwayo na vidonda vya tumbo.
ll.Esidi/Gesi-Co2. Hco3. Hcl.
Kula asali pamoja na mdalasini huweza kuondoa mchafuko wa tumbo na utumbo uletwao na gesi/acid
kwa mujibu wa uchunguzi mahsusi iliofanywa huko India na Japan.
12.Ugonjwa wa Moyo {HEART DISEASE}
Unaweza kukinga kupata ugonjwa wa moyo na kuzuia mkusanyiko wa mtandao wa mafuta kwenye
mishipa ya damu kwa kula asali na mdalasini mara kwa mara-kwa kupakaa wakati wa kifiingua kinywa.
Kula asali ya mkate wa ngano yenye nyuzinyuzi nyingi iliyopakwa kijiko kimoja {cha mezani} cha
mchanganyiko huo hapo juu kila siku. Tiba hii ya maajabu iliweza kupunguza kuganda kwa mishipa ya
damu kwa 74% ya wagonjwa waliokuwa katika nyumba za kutunzia wagonjwa - utafiti mmoja
ulionyesha.
13. Shinikizo la damu {HIGH BLOOD PRESSURE}
Shinikizo la damu pamoja na matatizo yaambatanayo ya maumivu ya kifua na kizunguzungu
yalitoweka kutoka kwa wagonjwa wengi wiki chache tu baada ya watafiti wa kitaliano kuwapa dozi za
mara kwa mara za asali ilyochanganywa na mdalasini. Vipimo vya shinikizo la damu vilionyesha
ukawaida na wote 137 waliofanyiwa jaribio hilo waliripoti kujisikia vyema/vizuri baada ya wiki chache za
tiba hii ya ajabu.
14.Kinga ya mwili {IMMUNE SYSTEM}
Kinga yako ya mwili itaongezeka mara tatu zaidi ikiwa utatumia mara kwa mara asali na mdalasini kwa
pamoja - wataalamu wanasema.
Utafiti wa kitiba unaonyesha kwamba hazina kubwa ya vitamini{vivurutubisho}na madini pamoja na
michanganyiko mingine iondoayo magonjwa pamoja na kinga itolewayo na chembechembe nyeupe za
damu, husaidia kuzuia magonjwa pamoja na kuharibu vimelea {virus} na {bacteria}.
15.Ukosefu wa nguvu za kiume [Uhanithi]{IMPOTENCE}
Asali ina historia ndefu ya kuamsha uume pamoja na kuwa dawa madhubuti ya kuponyesha uhanithi.
Kutokana na uwezo wake kama kiamshaji/chaji, asali ilipigwa marufuku kwa makasisi katika baadhi ya
dini za kimashariki mwa Dunia. Mwaka jana, watafiti wa kiaustralia waligundua kwamba asali ina uwezo
wa kupeleka mwili kutoa homoni mbalimbali kama ilivyo kwa mdalasini, katika Africa na dunia ya
kusini, mabaharia wamekuwa wakipaka asali katika sehemu zao za nje ya uume ili kuongeza stamina zao
za kufanya mapenzi.
16.Kutokuchaguliwa kwa chakula {INDIGESTION}
Vijiko viwili vya asali iliyonyunyiziwa mdalasini kabla ya mlo{kula chakula} huondoa kiungulia na
wataalamu wanasema kwamba asali husaidia kutolewa kwa juisi zinazotumika kuchaguliwa kwa vyakula
tumboni na mdalasini unaongeza spidi ya kuchaguliwa kwa vyakula.
17.Flu {INFLTJENZA}
Tafiti moja ya kihispania imethibitisha kwamba aina ya dawa moja asilia ya ajabu ambayo huharibu
vairasi {vimelea} waletayo Flu.
18.Umri wa kuishi {LONGERVITY}
Unaweza kuishi kufikia hadi miaka 100 na kufurahia maisha ya afya na madhubuti kwa kunywa kila
siku kikombe baridi cha chai ya mdalasini na asali. Kutengeneza kinywaji hiki kitamu, weka vijiko
vine{vikubwa} vya mdalasini katika vikombe vitatu vya maji na koroga kwa dakika 10. kunywa robo
kikombe kutwa mara tatu au nne na hivyo utakuwa na kinywaji kingi.
19.Chunusi {PIMPLES}
Changanya vijiko vitatu vya asali pamoja na kijiko kimoja cha mdalasini na pakaa kwenye chunusi.
Uwezo wa asali wa kuua bacteria utaufanya uso wako kuwa kawaida katika muda wa wiki mbili.
20.Kuumwa na wadudu {kwa washawasha} wenye sumu
Pakaa asali na mdalasini moja kwa moja kwenye sehemu zilizoathirika na rudia wakati mwahso
unapokuathiri. Rudia tena hadi viuvimbe vinatoweka.
21.Madhara ya ngozi {INFECTIONS}
Fanya kama ilivyoelekezwa hapo juu. Rudia kufanya hivyo hadi hali itakapokwisha.
22.Kupungua kwa uzito
Wawezakufurahia vyakula vyote unavyopenda, kuwa na afya nzuri na kupunguza uzito wa mwili
ambao hauhitajiki kwa kula chakula chenye nguvu na ladha nzuri, kilichojaa vitu viwili muhimu vya asili
ambavyo ni asali na mdalasini.unachohitajika kufanya ni kuhakikisha unavitumia vyote kwa kiasi katika
mapishi yako. Vilevile, wataalamu wanasema unaweza kuondoa mabonge ya uvimbe wa nyamanyama nje
ya mwili kwa kuanza siku yako kwa kutumia vijiko viwili vya asali iliyochanganywa na kijiko kimoja cha
mdalasini ndani ya bilauri ya maji vuguvugu. Rudia mchanganyiko huu kabla ya kulala.
Wakati wa kipindi cha baridi kinapokaribia, ambacho kinaambatana na mazoezi machache, kuongeza
hivi vitu viwili vya asili katika chakula ni muafaka. Pia kinywaji hiki vuguvugu kimeshahakikishwa na
wataalamu wa lishe kwamba hupunguza hamu ya kula pamoja na kuleta joto mwilini.
23.Sarakani {CANCER}
Utafiti uliomalizika karibuni huko Australia na Japan, umeonyesha kuwa asali ina uwezo mkubwa
katika tiba ya mgonjwa anayetumia madawa ya kutibu sarakani.
Katika tafiti iliyofanywa kwa wagonjwa waliokuwa wanaugua kwa kiwango kikubwa sarakani ya
mifupa na tumbo, wale waliokuwa wakitumia kila siku dozi za asali na mdalasini, walionyesha maradufu
kupata nafuu kuliko wale waliokuwa wakitumia wakitumia madawa ya sarakani pekee. "Tuliwapa kijiko
cha mdalasini na asali kutwa mara tatu kwa mwezi".anasema Dr Hiroki Owatta. "Wengine waliendelea na
milo ya kawaida".
24.Uchovu {FATIGUE}
Upo ushahidi mpya kwamba sukari asilia zilizopo kwenye asali zina uwezo wa kuongeza nishati
mwilini. Zikitumika ipasavyo, sukari hizi zinaweza kuwasaidia wazee na wengine wanaosumbuliwa na
uchovu, wataalamu wanapendekeza kuchauganya nusu kijiko cha asali katika nusu bilauri ya maji,
nyunyizia mdalasini na kunywa masaa mawili baada ya kuamka asubuhi. "Kunywa tena saa 9 alasiri
wakati nishati {nguvu}inapoanza kushuka" anashauri Dr Milton Abbozza ambaye kazi zake kuhusu asali
na mdalasini kama kichocheo cha nishati mwilini zinatambulika kimataifa. "katika wiki moja hii
itajionyesha".
25.Kuvimba Nyayo {SORE FEET}
Chua asali na mdalasini vuguvugu katika {miguu} nyayo zilizoathirika baada ya siku ndefu na kazi au
baada ya mazoezi marefu. Rudia kila asubuhi halafu nawisha nyayo kwenye maji baridi na vaa viatu.
26.Harufu mbaya kutoka mdomoni
Waamerica wa kusini wanasukutua kwa kutumia asali na mdalasini pamoja na vuguvugu kila asubuhi
ili kufanya harufu toka mdomoni kuwa nzuri na safi kiasilia. Katika Asia ya kusini mashariki, watu hula
kijiko cha mdalasini na asali ili kuondoa harufu mbaya mdomoni {halitosis}. Wataalamu wanaamini
kwamba uwezo wa kuua bacteria uliopo kwenye asali ndiyo unaopigana na harufu mbaya itokayo
mdomoni.
27.Kupungua kwa usikivu {HEARING LOSS}
Dozi za kila siku za asali na mdalasini hufanya hali ya usikivu kuwa makini kama ilivyogunduliwa na
Wagiriki wa zamani.
MDALASINI NA ASALI vinaweza kukufanya uonekane kama picha yenye afya nzuri kama ile ya
mwonyeshaji mitindo ya mavazi na muigizaji sinema Jocqol Bell.

Friday, March 27, 2015

Read Full story of Horratio Spafford composer of a Lyrics IT IS WELL WITH MY SOUL

Read Full story of Horratio Spafford composer of a Lyrics IT IS WELL WITH MY SOUL

Full story of Horratio Spafford

Horatio Spafford (1828-1888) was a wealthy Chicago lawyer with a thriving legal practice,
a beautiful home, a wife, four daughters and a son. He was also a devout Christian and 
faithful student of the Scriptures. His circle of friends included Dwight L. Moody, Ira Sankey
 and various other well-known Christians of the day.

At the very height of his financial and professional success, Horatio and his wife Anna 
suffered the tragic loss of their young son. Shortly thereafter on October 8, 1871, the
Great Chicago Fire destroyed almost every real estate investment that Spafford had.

In 1873, Spafford scheduled a boat trip to Europe in order to give his wife and daughters 
a much needed vacation and time to recover from the tragedy. He also went to join Moody 
and Sankey on an evangelistic campaign in England. Spafford sent his wife and daughters 
ahead of him while he remained in Chicago to take care of some unexpected last minute 
business. Several days later he received notice that his family's ship had encountered a 
collision. All four of his daughters drowned; only his wife had survived.

With a heavy heart, Spafford boarded a boat that would take him to his grieving Anna in 
England. It was on this trip that he penned those now famous words, When sorrow like 
sea billows roll; it is well, it is well with my soul..

Philip Bliss (1838-1876), composer of many songs including Hold the Fort, Let the Lower 
Lights be Burning, and Jesus Loves Even Me, was so impressed with Spafford's life and 
the words of his hymn that he composed a beautiful piece of music to accompany the lyrics. 
The song was published by Bliss and Sankey, in 1876.

For more than a century, the tragic story of one man has given hope to countless thousands 
who have lifted their voices to sing, It Is Well With My Soul.


This visual, Be Not Anxious Church PowerPoint, provides an ideal enhancement to the 
words of the song.

It Is Well With My Soul


When peace, like a river, attendeth my way,
When sorrows like sea billows roll;
Whatever my lot, Thou hast taught me to say,
It is well, it is well with my soul.

Refrain:
It is well (it is well),
with my soul (with my soul),
It is well, it is well with my soul.

Though Satan should buffet, though trials should come,
Let this blest assurance control,
That Christ hath regarded my helpless estate,
And hath shed His own blood for my soul.

Refrain

My sin, oh the bliss of this glorious thought!
My sin, not in part but the whole,
Is nailed to His cross, and I bear it no more,
Praise the Lord, praise the Lord, O my soul!

Refrain

For me, be it Christ, be it Christ hence to live:
If Jordan above me shall roll,
No pang shall be mine, for in death as in life
Thou wilt whisper Thy peace to my soul.

Refrain

And Lord haste the day, when my faith shall be sight,
The clouds be rolled back as a scroll;
The trump shall resound, and the Lord shall descend,
Even so, it is well with my soul.

Refrain

“Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let 
your requests be made known unto God. And the peace of God, which passeth all 
understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus. (Philippians 4:6-7)

Sunday, March 22, 2015

2nd QUARTER 2015 LESSON downloads here

CLICK THIS LINK TO DOWNLOAD LESSON
https://onedrive.live.com/redir?resid=FF3C6C584B285003!129&authkey=!AM1C08IuNm_Kd80&ithint=folder%2cpdf

2nd QUARTER 2015 LESSON downloads here

THE HUMILITY OF THE WISE

AWESOME PRESENTATION

Benefits of Carrots

Benefits of Carrots

Forget about vitamin A pills. With this orange crunchy powerfood, you get vitamin A and a host
 of other powerful health benefits including beautiful skin, cancer prevention, and anti-aging. 
Read how to get maximum benefits from this amazing 
vegetable as today http://technicalsolutionbymk.blogspot.com/ only outline to you few benefits 
of carrots to

 human health
Lets start to link this today with amazing picture of slaced carrots as looks like human eyes

 there are more benefits to human eyes see on this picture bellow

                                      Benefits of Carrots

1.  Improves vision
Western culture’s  understanding of carrots being “good for the eyes” is one of the few we got right.
Carrots are rich in beta-carotene, which is converted into vitamin A in the liver. Vitamin A is
 transformed in the retina, to rhodopsin, a purple pigment necessary for night vision.
Beta-carotene has also been shown to protect against macular degeneration and senile cataracts.
A study found that people who eat the most beta-carotene had 40 percent lower risk of macular
degeneration than those who consumed little.

2.  Helps prevent cancer
Studies have shown carrots reduce the risk of lung cancer, breast cancer and colon cancer. 
Researchers have just discovered falcarinol and falcarindiol which they feel cause the anticancer properties.
Falcarinol is a natural pesticide produced by the carrot that protects its roots from fungal diseases. 
Carrots are one of the only common sources of this compound. A study showed 1/3 
lower cancer risk by carrot-eating mice.

3.  Slows down aging 
The high level of beta-carotene acts as an antioxidant to cell damage done to the body through
 regular metabolism.  It help slows down the aging of cells.

4.  Promotes healthier skin 
Vitamin A and antioxidants protects the skin from sun damage. Deficiencies of vitamin A cause 
dryness to the skin, hair and nails. Vitamin A prevents premature wrinkling, acne, dry skin,
 pigmentation, blemishes, and uneven skin tone.

5.  Helps prevent infection 
Carrots are known by herbalists to prevent infection. They can be used on cuts – shredded raw or
 boiled and mashed.

6.  Promotes healthier skin (from the outside) 
Carrots are used as an inexpensive and very convenient facial mask.  Just mix grated carrot with a 
bit of honey. See the full recipe here: carrot face mask.

7.  Prevents heart disease
Studies show that diets high in carotenoids are associated with a lower risk of heart disease.  
Carrots have not only beta-carotene but also alpha-carotene and lutein.
The regular consumption of carrots also reduces cholesterol levels because the soluble fibers in 
carrots bind with bile acids.

8.  Cleanses the body 
Vitamin A assists the liver in flushing out the toxins from the body. It reduces the bile and fat in the liver. 
The fibers present in carrots help clean out the colon and hasten waste movement.

9.  Protects teeth and gums
It’s all in the crunch! Carrots clean your teeth and mouth. They scrape off plaque and food 
particles just like toothbrushes or toothpaste.  Carrots stimulate gums and  trigger a lot of saliva,
which being alkaline, balances out the acid-forming, cavity-forming bacteria.  The minerals in 
carrots prevent tooth damage.

10.  Prevents stroke
From all the above benefits it is no surprise that in a Harvard University study, people who
ate more than six carrots a week are less likely to suffer a stroke than those who ate only one 
carrot a month or less
health tips
updates, news and events
watch current video, reads lyrics, gets its meaning, news about different artist and so  on

lets discuss lesson here

new quarter

NYIMBO ZA KRISTO

lets prise the groly of lord